Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Waitembelea Idara…
Jumapili, 1 Rabi' I 1447 - 24 Agosti 2025
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan – Mji wa Rabak, White Nile, uliitembelea Idara ya Muongozo na Ushauri mnamo Jumapili, 1 Rabi' al-Awwal 1447 H sawia na tarehe 24 Agosti 2025. Ujumbe huo ulikutana na mkuu wa Sekretarieti katika Jimbo la White Nile, Sheikh Abdul Mubara Mahmoud Al-Mahmoud. Ujumbe huo uliongozwa na Dkt. Ahmed Muhammad Fadl Al-Sayyid, mwanachama wa Hizb ut Tahrir, na alifuatana na Ustadh Faisal Madani, mwanachama wa Hizb ut Tahrir.
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Lebanon …
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon, uliowakilishwa na Kamati ya Shughuli katika…
Hotuba ya Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah…
Mnamo Jumamosi, 26/7/2025, Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vilitangaza kuundwa kwa serikali sambamba na…
Jibu la Swali: Mkutano kati ya Trump na Putin huko…
Rais Trump wa Marekani na Rais wa Urusi Putin walifanya mkutano huko Alaska mnamo tarehe…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha…
Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Kimezindua kampeni ya…
Uongozi wa Kiislamu Unapokosekana, Ukandamizaji Hutawala
Marekani kwa mara nyengine tena imefichua hali yake ya kiuadui ya sera yake ya kibeberu…