Alhamisi, 22 Muharram 1447 | 2025/07/17
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Abu Ubaidah Aamir ibn Abdullah ibn Al-Jarrah (ra), Mwaminifu wa Ummah huu

Abu Ubaidah Aamir ibn Abdullah ibn Al-Jarrah (ra), Mwaminifu wa…

Jumapili, 5 Dhu al-Hijjah 1446 - 01 Juni 2025

Abu Ubaidah Aamir bin Abdullah bin Al-Jarrah Al-Fihri Al-Qurashi (40 Kabla ya Hijra/584 M hadi 18 Baada ya Hijrah/639 M) alikuwa Swahaba (ra) wa Mtume (saw), kamanda wa Kiislamu, na mmoja wa Maswahaba kumi (ra) waliopewa bishara njema ya Pepo. Alikuwa miongoni mwa watu wa kwanza kusilimu.

Afisi ya Habari

Bwawa la An-Nahdha: Silaha Mpya ya Marekani ya Kuvunja Utashi wa Misri na Kuzuia Ukombozi Wake kutokana na Utiifu

Bwawa la An-Nahdha: Silaha Mpya ya Marekani ya Kuvunja Utashi wa Misri na Kuzuia Ukombozi Wake kutokana na Utiifu

Jumanne, 20 Muharram 1447 - 15 Julai 2025

Tangu Ethiopia ilipotangaza ujenzi wa Bwawa la Kuu la Ethiopia la An-Nahda Dam kwenye  Nile ya Samawati mwaka 2011, uhalifu mkubwa wa kisiasa na wa kimkakati umekuwa ukijitokeza. Wale wenye ufaha...

Mashambulizi ya "Warefu Tisa" yatamalizwa tu kwa Utekelezaji wa Adhabu za Sharia chini ya Dola ya Khilafah

Mashambulizi ya "Warefu Tisa" yatamalizwa tu kwa Utekelezaji wa Adhabu za Sharia chini ya Dola ya Khilafah

Jumatatu, 19 Muharram 1447 - 14 Julai 2025

Habiba Al-Amin, mwandishi wa habari wa tovuti ya Kush News, alishambuliwa vikali na wanachama wa genge la "Warefu Tisa" katika eneo la kivuko kwenda Port Sudan alipokuwa akiregea kutoka kwenye uangazi...

Matoleo

Ni Dhambi Kubwa Kwa Ndege za Mayahudi Kuvuka Anga ya Tawala, Kuipiga Mabomu Iran na Kurudi Salama Bila Kutunguliwa na Tawala hizi Hata kwa Risasi Moja!

Ni Dhambi Kubwa Kwa Ndege za Mayahudi Kuvuka Anga ya Tawala, Kuipiga Mabomu Iran na Kurudi Salama Bila Kutunguliwa na Tawala hizi Hata kwa Risasi Moja!

Jumatatu, 20 Dhu al-Hijjah 1446 - 16 Juni 2025

Trump alisema katika chapisho kwenye jukwaa la Kijamii la ‘Truth’: ["Iran na Israel wanapaswa kufanya makubaliano, na watafanya makubaliano, kama vile nilivyozifanya India na Pakistan kufanya." Aliend...

Habari za Dawah

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Semina: “Hijra ... Kuzaliwa kwa Dola ambayo itaiokoa Gaza”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Semina: “Hijra ... Kuzaliwa kwa Dola ambayo itaiokoa Gaza”

Jumapili, 4 Muharram 1447 - 29 Juni 2025

Semina ya Hizb ut Tahrir/Wilayah Tunisia kwa mnasaba wa Mwaka Mpya wa Kiislamu kwa kichwa "Hijrah... Kuzaliwa kwa Dola ambayo itaikoa Gaza." ...

Jibu la Swali: Uvamizi wa Umbile la Kiyahudi dhidi ya Iran na Athari zake

Jibu la Swali: Uvamizi wa Umbile la Kiyahudi dhidi ya Iran na Athari zake

Jumamosi, 3 Muharram 1447 - 28 Juni 2025

Al Arabiya ilichapisha kwenye tovuti yake mnamo tarehe 27/6/2025: "Vyanzo vinne vyenye taaarifa vilisema kuwa utawala wa Rais Donald Trump ulijadili uwezekano wa kuisaidia Iran kufikia hadi dolari bil...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi: “Msafara wa Uthabiti Umesonga, Msafara wa Askari na Uanze!”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi: “Msafara wa Uthabiti Umesonga, Msafara wa Askari na Uanze!”

Ijumaa, 24 Dhu al-Hijjah 1446 - 20 Juni 2025

Matembezi yaliyohudhuriwa na umati mkubwa wa watu yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia yalitoka katika mji mkuu wa Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 20 Juni 2025 M kuanzia ...

Hizb ut Tahrir Tanzania Yazindua Kampeni Maalum ya Kulinda na Kutetea Aqida ya Kiislamu

Hizb ut Tahrir Tanzania Yazindua Kampeni Maalum ya Kulinda na Kutetea Aqida ya Kiislamu

Ijumaa, 2 Muharram 1447 - 27 Juni 2025

Mnamo tarehe 2 Muharram 1447 H / 27 Juni 2025 M, Hizb ut Tahrir Tanzania mara baada ya swala ya Ijumaa ilizindua kampeni maalumu ya kitaifa katika Masjid Rahma Buguruni, jijini Dar es Salaam. ...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu