Wakati Dola ya Kibaniani Inapozivua Niqab Kwenye Nyuso za Mabinti…
Alhamisi, 27 Jumada II 1447 - 18 Disemba 2025
Mnamo Jumatatu, 15 Disemba 2025, katika sherehe moja, Waziri Mkuu wa jimbo la India la Bihar, Nitish Kumar, aliichana niqab kutoka kwa daktari mmoja Muislamu, Nusrat Parveen. Baada ya kufanya hivyo, alicheka kana kwamba kuichana niqab hiyo kutoka kwa uso wa mwanamke wa Kiislamu ilikuwa ni mzaha. Ilhali, Mayahudi walipomfunua mwanamke mmoja wa Kiislamu na kumdhihaki hali yake, Swahaba aliyekuwepo alimuua Myahudi huyo; na Mayahudi walipomuua shahidi Swahaba huyo baadaye, Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) alizingira kabila lote, akawakamata na kuwafunga wote, na alikuwa akitoa hukumu juu yao, lakini hatimaye, baada ya maombezi, adhabu ndogo ilitolewa: kabila lote lilifukuzwa Madina....
DVD ya Gazeti la Al-Rayah Sehemu ya 7 (Toleo 471…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi na wageni wa…
DVD za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir…
DVD za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir
Tafsiri Al-Baqarah [Muhkam na Mutashabiha]
Jambo muhimu katika sayansi ya Quran linalohusiana na tafsiri ya aya za Mwenyezi Mungu, mbali…
Mwangwi wa Himaya: Uharamia wa Marekani Pwani ya Venezuela
Mnamo tarehe 10 Disemba 2025, Marekani ilimkamata nahodha wa meli ya mafuta kutoka pwani ya…
Yaonekana Mazuri, lakini Ndani Hamna Kitu!
Rais Erdoğan, katika hotuba yake baada ya mkutano wa baraza la mawaziri, pia aligusia mwelekeo…




