Jumatano, 04 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/08/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Waitembelea Idara ya Muongozo na Ushauri katika Jimbo la White Nile

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Waitembelea Idara…

Jumapili, 1 Rabi' I 1447 - 24 Agosti 2025

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan – Mji wa Rabak, White Nile, uliitembelea Idara ya Muongozo na Ushauri mnamo Jumapili, 1 Rabi' al-Awwal 1447 H sawia na tarehe 24 Agosti 2025. Ujumbe huo ulikutana na mkuu wa Sekretarieti katika Jimbo la White Nile, Sheikh Abdul Mubara Mahmoud Al-Mahmoud. Ujumbe huo uliongozwa na Dkt. Ahmed Muhammad Fadl Al-Sayyid, mwanachama wa Hizb ut Tahrir, na alifuatana na Ustadh Faisal Madani, mwanachama wa Hizb ut Tahrir.

Afisi ya Habari

Matoleo

Amerika inaharakisha Mpango wake wa Kulitenganisha Eneo la Darfur Hakuna Suluhisho Isipokuwa kwa Kuufanya Umoja wa Dola kuwa Suala Nyeti

Amerika inaharakisha Mpango wake wa Kulitenganisha Eneo la Darfur Hakuna Suluhisho Isipokuwa kwa Kuufanya Umoja wa Dola kuwa Suala Nyeti

Jumanne, 18 Safar 1447 - 12 Agosti 2025

Tangu utawala wa Trump kuchukua faili ya Sudan baada ya kuchukua uongozi mnamo Januari 2025, imekuwa ikiongoza harakati za kijeshi na kisiasa nchini Sudan, ikishinikiza kujitenga kwa eneo la Darfur. M...

Gaza iko Ukingoni mwa Kuzidishwa Mauaji na Ukandamizaji Mkali ikiwa Umma wa Kiislamu hautasonga mbele Kuinusuru

Gaza iko Ukingoni mwa Kuzidishwa Mauaji na Ukandamizaji Mkali ikiwa Umma wa Kiislamu hautasonga mbele Kuinusuru

Ijumaa, 14 Safar 1447 - 08 Agosti 2025

Gaza Hashim inaingia katika hatua mpya ya mauaji na uharibifu baada ya wizara ya usalama ya umbile halifu kuamua asubuhi ya Ijumaa hii, 08/08/2025, kupanua operesheni zake ili kuweka udhibiti wake juu...

Habari za Dawah

Jibu la Swali: Mkutano kati ya Trump na Putin huko Alaska

Jibu la Swali: Mkutano kati ya Trump na Putin huko Alaska

Jumanne, 25 Safar 1447 - 19 Agosti 2025

Rais Trump wa Marekani na Rais wa Urusi Putin walifanya mkutano huko Alaska mnamo tarehe 16/8/2025. Je, walifikia makubaliano kuhusu masuala muhimu? Je, mkutano huu ulikuwa na athari gani katika mahus...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Kampeni ya Kimataifa - Vita vya Sudan: Hadithi ya Ukoloni, Usaliti na Udanganyifu”

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Kampeni ya Kimataifa - Vita vya Sudan: Hadithi ya Ukoloni, Usaliti na Udanganyifu”

Jumatatu, 10 Safar 1447 - 04 Agosti 2025

Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Kimezindua kampeni ya kimataifa kuangazia maafa yanayozidi kuwa mabaya ya kibinadamu yanayowakabili Waislamu wa Sudan. Kampeni hii pia...

Jibu la Swali: Matukio nchini Armenia na Azerbaijan

Jibu la Swali: Matukio nchini Armenia na Azerbaijan

Jumamosi, 22 Safar 1447 - 16 Agosti 2025

Uwepo wa Urusi katika Caucasus Kusini umetikiswa “kufuatia Armenia na Azerbaijan kutia saini tamko la pamoja na Marekani juu ya suluhisho la amani na makubaliano katika maeneo ya biashara na usalama b...

Makala

Umuhimu wa Kimkakati wa Siasa za Kijiografia za Sudan

Umuhimu wa Kimkakati wa Siasa za Kijiografia za Sudan

Alhamisi, 27 Safar 1447 - 21 Agosti 2025

Sudan ni nchi yenye umuhimu mkubwa wa kisiasa za kijiografia, unaotokana na ardhi yake kubwa, maliasili nyingi, na eneo ambalo linaiweka kitovu cha baadhi ya njia muhimu zaidi za kibiashara na kisiasa...

Uislamu Uliingiaje Sudan?

Uislamu Uliingiaje Sudan?

Alhamisi, 20 Safar 1447 - 14 Agosti 2025

Kabla ya kuwasili kwa Uislamu, eneo linalojulikana leo kama Sudan halikuwa umbo lililounganishwa kisiasa, kitamaduni au kidini. Ilikuwa makao ya makabila, desturi, na imani mbalimbali. Upande wa kaska...

Habari

Uongozi wa Kiislamu Unapokosekana, Ukandamizaji Hutawala

Uongozi wa Kiislamu Unapokosekana, Ukandamizaji Hutawala

Jumatatu, 2 Rabi' I 1447 - 25 Agosti 2025

Marekani kwa mara nyengine tena imefichua hali yake ya kiuadui ya sera yake ya kibeberu ya mambo ya nje kwa kutuma manuari tatu kuelekea pwani ya Venezuela. Washington inahalalisha hatua hiyo kupitia ...

Uhuru wa Kweli kwa Indonesia

Uhuru wa Kweli kwa Indonesia

Jumatano, 26 Safar 1447 - 20 Agosti 2025

Sherehe ya miaka 80 ya Siku ya Uhuru wa Indonesia ilichangamshwa na mavazi ya kitamaduni ya kupendeza katika Kasri la Merdeka, Jakarta, Jumapili, Agosti 17, 2025. Waziri wa Afya Budi Gunadi Sadikin al...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu