Kampeni ya Umbile la Kizayuni katika Ukingo wa Kaskazini Magharibi…
Alhamisi, 6 Jumada II 1447 - 27 Novemba 2025
Hawa hapa Mayahudi wakizidi kuwa wakali zaidi katika Ukingo wa Magharibi, wakitangaza “operesheni ya kijeshi” kaskazini mwake, wakibomoa nyumba na kuzigeuza zengine kuwa kambi za kijeshi, wakinyang'anya ardhi, wakikamata kundi la Wapalestina na kuua kundi jengine, wakiharibu mifereji ya maji na kung'oa miti, na operesheni yao ya kijeshi inaenea hadi sehemu iliyobaki ya Ukingo wa Magharibi, katikati yake na kusini yake, na hii inaendana na kile walowezi hao wanachofanya, kwa kuzingatia kutolewa kwa sheria inayowaruhusu kupata mali katika Ukingo wa Magharibi, ambayo ilitanguliwa na kufutiliwa mbali kwa sheria ya kutengwa kaskazini yake.
Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi kutoka Uzbekistan Abdul-Majeed Butirov
Hizb ut Tahrir Uzbekistan yaomboleza kwa Umma wa Kiislamu mwanachama wa Hizb ut Tahrir: Abdul-Majeed Butirov
GHASIA ZA TANZANIA ZA BAADA YA UCHAGUZI WA 2025
Tanzania imekuwa ikikabiliwa na mgogoro wa kisiasa tangu siku ya uchaguzi ya tarehe 29 Oktoba…
Ni Khilafah Rashida pekee kwa Njia ya Utume ndiyo itakayong'oa…
Kwa mwaliko wa Balozi wa Uingereza, Kumar Iyer, pamoja na Ujerumani, Ireland, Uholanzi, na Norway,…
Hotuba ya Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir / Wilayah…
Tangu Quartet—ambayo inajumuisha sambamba na Amerika, Saudi Arabia na Misri na Imarati, ilipotangaza taarifa yake…
Sudan ni Milki ya Hadhara Tukufu Zaidi Iliyowahi Kujulikana Katika…
Katika makala ya maoni ya Al-Burhan, yaliyochapishwa na jarida la ‘American Wall Street Journal’ mnamo…




