Kauli za Uhalalishaji Mahusiano ni Tangazo la Wazi la Kuoanishwa…
Jumapili, 13 Rabi' II 1447 - 05 Oktoba 2025
Siku za hivi karibuni zimeshuhudia msururu wa kauli zilizotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Badr Abdelatty wakati wa ushiriki wake katika makongamano ya kimataifa. Maarufu zaidi kati ya kauli hizi ni msisitizo wake juu ya “umuhimu wa 'Israel' kuishi kwa amani na kuoanishwa ndani ya eneo hili,” na “utayari kamili wa kuhalalisha mahusiano na ‘Israel’" pamoja na Saudi Arabia na nchi zengine, na kauli yake kwamba “suluhisho pekee kwa mustakbali ni kuanzishwa kwa dola ya Palestina isiyo na kijeshi inayoishi kwa amani na ‘Israel’.” Kauli hizi waziwazi zinaakisi mwelekeo unaofuatwa na tawala zilizoko katika nchi za Kiislamu:...
Uacheni Umma Ufanye Uamuzi Wake, Enyi Watawala Waoga!
Hatukushangazwa, wala Umma wa Kiislamu haukushangazwa na ukaribishaji wa watawala wasaliti wa Waislamu wa mpango…
Suluhisho la Dola Mbili ni Kejeli ya Karne isiyo na…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh inashutumu vikali kile Prof. Yunus alisema kwenye Mkutano Mkuu…
Baada ya Mashambulizi ya Umbile la Kiyahudi kwa Sumud Flotilla…
Enyi Wanajeshi: Mumeshuhudia shambulizi la umbile la Kiyahudi dhidi ya Sumud Flotilla iliyosafiri bahari ili…
Rais wa Lebanon Atoa Wito wa Kuidhinishwa Haraka kwa Mpango…
Enyi Watu wa Lebanon, Enyi Watu wa Palestina, Enyi Umma wa Uislamu: Rais wa Lebanon…
Simama pamoja na Watu Wasioteteleka wa Gaza, Sio na Trump…
Miaka miwili imepita tangu mauaji ya halaiki yanayofanywa na umbile nyakuzi la Kiyahudi huko Gaza,…